Hot Posts

6/recent/ticker-posts

HIZI NDIYO CLUB ZA MPIRA ZENYE KIKOSI TAJIRI ZAIDI MWAKA 2023/23 MAMELODI YA KWANZA AFRIKA

 


Kwa mujibu wa Transfer Market, kikosi cha Mamelodi Sundowns ndio kikosi chenye thamani kubwa zaidi Afrika kwa sasa 


Hii ni top 5 ya Klabu zenye mpunga mrefu na kufanya uwekezaji mkubwa zaidi , note muhimu ni kwamba 


1 Kwenye Klabu hizi tano ni mbili tu ambazo zimeingia Robo Fainali CAFCL msimu huu .


2 Tano bora inaundwq na klabu za mataifa mawili tu [ Afrika Kusini na Misri] 


3 Bajeti ya baadhi ya klabu za hapa nyumbani kwenye usajili ni thamani ya mchezaji mmoja tu na pengine thamani ya mchezaji kutoka 5 bora ni kubwa kuzidi fungu la usajili kwa baadhi ya Klabu zetu.


4 Timu yenye mchezaji ghali zaidi ,haikuwepo kabisa kwenye CAFCL 


TOP FIVE 👑

1. Mamelodi Sundowns. 

Kikosi kina thamani ya €33.15 Milioni sawa na Tsh 91,931,455,687 

[ Bilioni 91] 


 Mchezaji Ghali zaidi ni Marcelo Allende🇨🇱 €2.30 milioni sawa na Tsh6,378,351,375 

[ Bilioni 6] 

 

 

2.Al Ahly.

kikosi kina thamani ya €32.48 milioni sawa na Tsh90.073,414,200 

[ Bilioni 90] 


Mchezaji Ghali zaidi ni Aliou Dieng🇬🇳 

€4.50m sawa na Tsh12,479,383,125 

[ Bilioni 12] 


 3 Pyramids FC

Kikosi kina thamani ya: €22.30 milioni sawq na Tsh61,842,276,375 

[ Bilioni 61] 


Mchezaji Ghali zaidi ni Ramadhan Sobhi🇪🇬 €3.00 milioni sawa na Tsh8,319,588,750

[Bilioni 8] 


4 Orlando Pirates.

Kikosi kina thamani ya €20.20 milioni sawa na Tsh56,018,564,250

[ Bilioni 56] 


Mchezaji Ghali zaidi ni Monnapule Saleng 🇿🇦€1.30 milioni sawa na Tsh3,605,155,125

[ Bilioni 3]


 

5 Zamalek SC.

Kikosi kina thanani ya € 19.55 sawq na Tsh54,215,986,687

[Bilioni 54] 


Mchezaji Ghali zaidi:

Ahmed Sayed "Zizo" 🇪🇬

€ 5.00 milioni sawa na Tsh13,865,981,250

[Bilioni 13]

Post a Comment

0 Comments