GOOD MORNING 🖐️
Matokeo ya aliyekuwa Kocha wa Simba Roberto Oliveira ‘Robertinho’ kwenye mechi 18 za Ligi Kuu tangu alipoanza kuifundisha Simba Januari 2023 hadi Novemba 2023.
Januari 18, 2023 Simba 3-2 Mbeya City
Januari 22, 2023 Dodoma Jiji 0-1 Simba
Februari 3, 2023 Simba 3-1 Singida Big Star
Februari 21, 2023 Simba 1-1 Azam
Machi 11, 2023 Mtibwa Sugar 0-3 Simba
Aprili 10, 2023 Ihefu 0-2 Simba
Aprili 16, 2023 Simba 2-0 Yanga
Mei 3, 2023 Namungo 1-1 Simba
Mei 12, 2023 Simba 3-0 Ruvu Shooting
Juni 6, 2023 Simba 6-1 Polisi Tanzania
Juni 9, 2023 Simba 3-1 Coastal Union
Agosti 17, 2023 Mtibwa Sugar 2-4 Simba
Agosti 20, 2023 Simba 2-0 Dodoma Jiji
Septemba 21, 2023 Simba 3-0 Coastal Union
Oktoba 5, 2023 Tanzania Prisons 1-3 Simba
Oktoba 8, 2023 Singida Fountain Gate 1-2 Simba
Oktoba 28, 2023 Simba 2-1 Ihefu
Novemba 5, 2023 Simba 1-5 Yanga
Katika mechi hizo 18, Robertinho ameshinda mechi 15, ametoka sare mechi mbili [2] na kupoteza mchezo mmoja [1] pekee! Simba imefunga magoli 45, imefungwa magoli 17 na clean-sheets nane [8].
0 Comments