Hot Posts

6/recent/ticker-posts

TANZANIA TUNAANZIA HAPA! KUELEKEA AFCON KWQNZA NI SIMBA NA SUPER LEAGUE

African Football League ni shindano kubwa, naamini litakonga nyoyo za mashabiki lakini jambo kubwa ni kushuhudia Uwanja wa Benjamin Mkapa ukifanyiwa ukarabati mkubwa na Serikali kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.


Ni jambo jema sana, mechi itachezwa shindano litapita lakini uwanja utabaki na kuendelea kutumika ukiwa katika ubora wa juu! Naamini utakuwa ni miongoni mwa viwanja bora sana Afrika. 


Na hapa ndio sehemu ya kuanzia kuelekea michuano ya AFCON 2027 ambayo tutakuwa wenyeji tukishirikiana na jirani zetu wa Kenya na Uganda.


 

Post a Comment

0 Comments