Hot Posts

6/recent/ticker-posts

TUZO ZA UEFA LEO, Pep Guardiola Na Mshambuliaji wake Wang'ara

 


Tuzo nyingine kwa Upara 


Kocha wa Man City Pep Guardiola ametwaa tuzo ya kocha bora wa UEFA 2022/23 baada ya kuiongoza Man City kutwaa taji la UCL na pia kutwaa mataji matatu ( Treble ) 


✍🏻UCL 

✍🏻EPL 

✍🏻FA Cup 



✍🏻Erling Braut Haaland ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa UEFA 2022/23 . Aliweka kambani magoli 12 


✍🏻Aitana Bonmati ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa UEFA 2022/23 kwa upande wa Wanawake . Anakipiga klabu ya Barcelona 



Post a Comment

0 Comments