Hot Posts

6/recent/ticker-posts

HAYA HAPA MAKUNDI YA TIMU ZITAKAZOCHEZA UEFA MWAKA HUU GROUP STAGE

 


Droo ya makundi ya Ligi ya mabingwa Ulaya 2023/24 imekamilika rasmi 

✍🏻Mashindano yataanza rasmi 19/092023 mpaka 01/06/2024 

✍🏻Fainali itapigwa katika dimba la Wembley , England 

✍🏻Huu ndio msimu wa mwisho wa muundo huu kwa mashindano ya UCL kabla ya muundo mpya 

NOTE 

Kama haujaiona timu yako hapo , sijui itakuwa inacheza mchezo gani sasa 😀😀

Kundi la kifo ??? Kwangu mimi KUNDI F 



Post a Comment

0 Comments