Hot Posts

6/recent/ticker-posts

MZAMIRU WA SASA NI BALAA! HAKIKA KIUNGO FUNDI WA MPIRA

 

Anaitwa Mzamiru Yassin amekuwa kwenye ubora wa aina yake hivi sasa na kila mmoja anavutiwa na kiwango chake


Mzamiru alishawahi kuimbwa zile nyimbo maarufu za mashabiki " toa huyoo, kocha unasubiri nini kumtoa Mzamiru " lakini sidhani kama huo wimbo upo tena

Simba SC inajivunia kuwa na kiungo wa aina yake, Tanzania pia tunajivunia kuwa na Mzamiru Yassin, nakuombea afya njema na aendelee kuupiga mwingi

Post a Comment

0 Comments