Hot Posts

6/recent/ticker-posts

KWA MARA YA TATU TANZANIA YAFUZU AFCON 2023 ZAMA ZA SAMIA SULUHU

CAF: SHANGWE TUPU, TANZANIA YAFUZU KUCHEZA AFCON 

-

Timu ya Taifa ya #Tanzania “Taifa Stars” imeandika rekodi nyingine ya kufuzu kucheza michuano ya Afrika kwa mara ya tatu baada ya kuilazimisha #Algeria matokeo ya 0-0

Tanzania ambayo ilishiriki #AFCON Mwaka 1980 na 2019 imekamilisha michezo ya Kundi F ikiwa na pointi 8 nyuma ya Algeria yenye pointi 16 ambayo nayo imefuzu, #Uganda ina pointi 7, Niger imeshika mkia kwa kuwa na pointi 2

-

Michuano hiyo inatarajiwa kufanyika Januari 13 hadi Februari 11, 2024 Nchini Ivory Coast

#BreakingNews Tanzania yafuzu #AFCON2023 


Ni baada ya kutoka sare dhidi ya Algeria na kufikisha alama 8 na kumaliza nafasi ya pili kwenye msimamo wa Kundi F. 


FT: Algeria 0-0 Tanzania 


FT: Niger 0-2 Uganda 


 

Post a Comment

0 Comments