Hot Posts

6/recent/ticker-posts

Leo Simba Imecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Kipanga FC na kuibuka na ushindi wa magoli 3-0.

 

Kupitia Ukurasa wao wa Insta wameandika 

Leo asubuhi tumecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Kipanga FC na kuibuka na ushindi wa magoli 3-0.


Taarifa zaidi kuhusu mchezo inapatikana kwenye Simba App. #WenyeNchi #NguvuMoja

MECHI YA KIRAFIKI

.

FT: SIMBA SC 3-0 KIPANGA

21’—⚽️ Phiri

41’—⚽️ Miquissone

70’—⚽️ Kramo (freekick) 

.

SIMBA kikosi X1:

Ally (Lakred), Kapombe (Duchu), 

Zimbwe Jr (Israel), Che Malone, Henock (Mwanuke), Ngoma, Chama (Abdallah), Kanoute (Kapama), Phiri (Baleke), Miquissone (Kramo), Onana (Kazi).

Post a Comment

0 Comments