Mpaka sasa Yanga SC imeshacheza jumla ya michezo minne na haijaruhusu hata bao mmoja ndani ya dakika 90
Yanga SC 2-0 Azam FC
Simba SC 0-0 Yanga SC
Asas 0-2 Yanga SC
Yanga SC 5-0 KMC FC
Waliondoka wachezaji kama Fiston Mayele, Yannick Bangala, Djuma Shaban, Benard Morrison na wengine wengi
Niliwahi kuandika hapa, Yanga SC ni Taasisi haimtegemei mtu mmoja utakuja na utaondoka kisha watakuja wengine ndivyo ilivyo
Ukisiliza sauti za wadau wa michezo nyimbo zao ni Yao Yao, Pacome Zouzoua, Max Nzengeli na Mudathir Yahya Abass
Ni walewale mashabiki wa Yanga walioingia hudhuni kuondoka kwa Mayele lakini hali imebadilika sasa hakuna tena msiba ni harusi
Niambie wewe unaenjoy nini kwa Yanga hii?
0 Comments