Hot Posts

6/recent/ticker-posts

FEISAL FEITOTO HANA KIPYA ZAIDI AMEKUWA KIBONGE TU AZAM


🗣️ Ukitazama kwa jicho latatu kwenye soka nafikili hutopingana nami, Nguvu na Ukubwa alioyokuwanayo Feisal katika soka kwa asilimia kubwa umetengenezwa na ukubwa wa klabu ya Yanga na mtaji mkubwa wa mashabiki ndio uliosababisha Feisal Salum kuonekana mchezaji wa daraja la juu hapa Tanzania 🇹🇿.


🗣️Lakini kiukweli wachezaji kama Feisal hapa nyumbani wako wengi sana ila wanashindwa kuonekana kwenye daraja la juu kutokana na klabu wanazochezea, Kwa mfano toka Feisal alipogoma kucheza katika klabu ya Yanga watu wengi walijua timu itashuka kiwango kwa kutokuwepo kwake, Lakini timu iliweza kutwaa ubingwa wa NBC premier league na kufika fainali ya Kombe la Shirikisho barani Africa bila Feisali.


🗣️Toka ameanza kucheza katika klabu ya Azam Fei toto sasa uwezo wake asili unaonekana na toka amefika mpaka sasa mchezo ambao kidogo alikuwa katika kiwango bora ni mchezo dhidi ya kitayosce fc ambapo alifunga mabao matatu tena kitayosce wakiwapungufu kwa idadi ya wachezaji (8) Uwanjani, Mpaka sasa timu yake ya zamani haijaonyesha mapungufu toka ameondoka tofauti na Mayele ambaye pengo lake linaonekana mpaka sasa.


#Boiboimkali
 

Post a Comment

0 Comments