Hot Posts

6/recent/ticker-posts

KOCHA WA MAN U TEN HAG MIYEYUSHO TU

Uploading: 187277 of 187277 bytes uploaded.


 INAUMA SANA : lakini inafika mahala inabidi uzoee tu kwamba ndio hali halisi ya hii klabu ilipofikia . Hali inazidi kuwa mbaya sana . 


Nafikiri umefika muda Manchester United kuiita " Timu kubwa " inakuwa makosa sana bali timu yenye jina kubwa na wafuasi wengi . 


Katika misimu takribani mitatu haya ndio matokeo yetu ... unaweza kufikiria mwenyewe timu gani kubwa unapokea vichapo vingi vikubwa kama hivi katika misimu inayokaribiana hivi 


Man United 0-3 Man City

Man United 0-5 Liverpool.

Liverpool 7-0 Man United.

Liverpool 4-0 Man United.

Man City 6-3 Man United.

Man United 1-6 Spurs.

Brighton 4-0 Man United.

Brentford 4-0 Man United.

Arsenal 3-2 & 3-1 Vs Man United 

Man United 1-3 Brighton 

Watford 4-1 Man United 

Man United 0-3 Newcastle United 


NOTE 


Msimu huu tu peke yake mashindano yote Man United tayari tumefungwa magoli 3 katika mechi tano tofauti 


1: Man United 0-3 Man City ( EPL ) 


2: Man United 0-3 Newcastle ( Carabao ) 


3: Man United 1-3 Brighton ( EPL ) 


4: Arsenal 3-1 Man United ( EPL ) 


5: Man United 2-3 Galatasaray ( UCL ) 


✍🏻Katika mechi 15 msimu huu , mechi 8 tumepoteza


✍🏻Katika mechi 10 za kwanza nyumbani 5, tumebabuliwa 


😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭


Boss @diamondplatnumz ule wimbo wako unaitwaje tena ? YATAPITA

Post a Comment

0 Comments