Mechi hiyo itapigwa Oktoba 18 nchini Saudi Arabia na mastaa tayari washaingia kambini kujiandaa na mechi hiyo.
Wakati mechi hiyo ikipigwa Oktoba 18 itakuwa bado siku mbili Simba SC kucheza mechi ya ufunguzi ya African Football League dhidi ya Al Ahly katika uwanja wa Mkapa jijini Dar (Oktoba 20) huku wapinzani wao Al Ahly tayari washatoa taarifa ya kuwazuia mastaa wake wakiwemo Percy Tau kujiunga kikosini Afrika Kusini na Aliou Dieng kwenda Mali.
0 Comments