Hot Posts

6/recent/ticker-posts

LEO SIMBA KAZI ANAYO PRISONS MBEYA FC WATENGEWA 25M MEZANI


💰 Uongozi wa klabu ya Tanzania Prisons kwa kushirikiana na baadhi ya wadau umetoa motisha katika timu yao ili kuepuka kichapo leo dhidi ya Simba.
.
Katika kikao kilichofanyia viongozi pamoja na wadau wametoa ahadi ya sh 25milioni kwa wachezaji endapo watapata Ushindi dhidi ya Simba. 


Post a Comment

0 Comments