Hot Posts

6/recent/ticker-posts

NI RASMI: AFCON 2027 KUFANYIKA AFRIKA MASHARIKI


Hatimaye TANZANIA 🇹🇿KENYA🇰🇪 na UGANDA🇺🇬 zimefanikiwa kushinda zabuni ya kuwa wenyeji wa michuano ya AFCON 2027 baada ya Shirikisho la Soka Afrika [CAF] kupitisha ombi la nchi hizo kwa pamoja.

Kwa hiyo ni rasmi sasa Fainali za AFCON zitafanyika Afrika Mashariki kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwa mashindano hayo miaka 66 iliyopita!



 

Post a Comment

0 Comments