Hot Posts

6/recent/ticker-posts

MAKOCHA WAZAWA WA TIMU ZA LIGI KUU NI SABA TU


Kati ya makocha 16 wa timu za Kigi Kuu ya NBC msimu huu 2023|24, makocha saba [7] ni wazawa na makocha tisa [9] ni raia wa kigeni.


Makocha wengi wazawa wanatoka kwenye timu za taasisi [binafsi au serikali], ni Ihefu SC pekee ambayo si timu ya taasisi lakini ina kocha mzawa.


MAKOCHA WAZAWA WA TIMU ZA LIGI KUU NI:


1. Abdallah Mohamed ‘Barres’ [Mashujaa FC]

2. Hemed Morocco [Geita Gold FC]

3. Zuber Katwila [Ihefu SC]

4. Malale Hamsini [JKT Tanzania]

5. Habib Kondo [Mtibwa Sugar]

6. Fredy Felix Minziro [Tanzania Prisons] 

7. Mecky Maxime [Kagera Sugar]
 

Post a Comment

0 Comments