Hot Posts

6/recent/ticker-posts

SIMBA WAJIBU KWA JEURI " TUNATAKA UBINGWA SIO KUCHEZA VIZURI"



Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya klabu ya Simba Salim Abdallah "Try Again" amesema kwasasa wanachotaka ni kuona timu inapata ushindi na sio kucheza vizuri au kupiga pasi nyingi ndani ya uwanja.


Salim amesema kwasasa wamemuacha mwalimu afanye kazi yake na wao kama viongozi wanampa nguvu zote ili kuhakikisha wanapata matokeo.


Aidha Salim amesema mashabiki hao hao wanaohitaji timu icheze vizuri baadae wakikosa ubingwa mwisho wa msimu watalaumu.

Post a Comment

0 Comments