.
✍🏻Singida FC bora hata hii mechi isingeoneshwa tungesema mmeonewa lakini tumeona vizuri tu , kiukweli level ya kiufundi ya mchezaji mmoja mmoja
1: Jinsi ya kupokea mali
2: Jinsi ya kulinda mali
3. jinsi ya kupiga pasi sahihi katika sehemu sahihi
4: Movements
Tuseme tusemavyo makosa ya Singida FG lakini hayo makosa yalihitaji kuadhibiwa ndio yaonekane .
✍🏻Muda ambao Singinda FG walicheza vizuri ni ule muda ambao walikuwa nyuma 1-0
1: Fullbacks wote walikuwa wanasogea juu kuwapa fursa wingers wao kushambulia ndani
2: Viungo wawili wote wali push juu karibu na mstari wao wa washambuliaji
3: Ndio maana iliwasaidia kutengeneza presha na mashambulizi mazuri .
✍🏻Sasa basi baada ya kadi nyekundu ya Future FC , aisee Singinda FG walipigiwa boli bhana utasema Future FC wapo wengi dimbani . Walifanya kila kitu kwa usahihi
1: Defending ✅
2: Third man runs ✅
3: Tanua uwanja licha ya kuwa pungufu ✅
4: Vuta subira ✅
5: Tumia mpira vizuri , usipoteze mali kirahisi✅
6: Toa adhabu kwa kila kosa linalofanyika ✅
NOTE
Hii note ni kwa ajili ya mchezaji mmoja tu AHMED ATEF ... ni nani alisema kucheza kama mshambuliaji mmoja mbele lazima uwe mrefu na mwili nyumba ?
Huyu mwamba :-
1: Fundi mguuni
2: Anajua kulinda boli
3: Kasi yake kama haendi vile ( deceptive quick)
4: Ana jicho la pasi
5: Uwezo wa kucheza goli la timu pinzani kulipa mgongo
6: Mzuri hewani licha ya kimo cha kawaida
Amewavuruga sana Carmo na Hamad .!
FT : Future FC 4-1 Singida FG ( Agg: 4-2 )
0 Comments