Hot Posts

6/recent/ticker-posts

KOCHA WQ YANGA GAMONDI APIGA SIMU YA WAZI

Gamondi: Hallooo Al Merikh… 

.

Kocha wao: Halooo …. Nani mwenzangu?

.

Gamondi: Naitwa Gamondi master wa Tikitaka A.k.a mtaalamu wa 5G.

.

Kocha wao: Ehe unasemaje?

.

Gamondi: Leo tumeanza mazoezi ya Beach, nawaandalia 5G hapo Rwanda.

.

Kocha wao: We jichanganye tu.

.

Gamondi: Nawaambia mapema, anzeni mazoezi msije kunilaumu.

.

Kocha wao: msitutishe bwana.

.

Gamondi: Siwatishi ila dozi ya 5G itamfikia kila mgonjwa mwenye gubu kama lako.

.

Kocha wao: Nani anagubu?… tuheshimiane.

.

Gamondi: Nasseemaje… utajua hujui .. nakupiga nje ndani.

.

Kocha wao: (kakata simu)

.

Gamondi: Haloooo… haloooo… Kuku waheed
 

Post a Comment

0 Comments