.
Vyovyote atakavyomtumia Aziz Ki, amekuwa na mchango mkubwa msimu huu na amefunga na kuchangia mabao msimu huu katika mechi sita za timu hiyo hadi sasa kabla ya mchezo wa jana dhidi ya JKT Tanzania. Ubora wa Ki unamsumbua kichwa Gamondi wa nani aanze kati yake Maxi na Pacome ingawa amekuwa akiwatumia wote kwani na amekuwa akifanya mzunguko kwenye kuchagua wachezaji na wote kufanya vyema. Ni namna tu atakavyowatumia.
0 Comments