.
Na kwenye mchakato huo, Mbappe aliishia kushika namba nne kwa mujibu wa gazeti la Ufaransa la RMC Sport. Katika kura za kumsaka nahodha, Marquinhos ametajwa kuwa namba moja, akifuatiwa na Danilo Pereira na namba tatu ni Presnel Kimpembe.
.
Na kwenye mchakato huo, Mbappe aliishia kushika namba nne kwa mujibu wa gazeti la Ufaransa la RMC Sport. Katika kura za kumsaka nahodha, Marquinhos ametajwa kuwa namba moja, akifuatiwa na Danilo Pereira na namba tatu ni Presnel Kimpembe.
0 Comments