Hot Posts

6/recent/ticker-posts

MAN. UNITED KUMSAJILI ANWAR EL GHAZI KUZIBA NAFASI YA ANTONY NA SANCHO



#ManchesterUnited inahitaji Winga wa Kulia baada ya #Antony kutakiwa kuwa nje kwa muda kushughulikia tuhuma zinazomkabili wakati #JadonSancho hatma yake haijulikani baada ya kutofatiana na Kocha wake, Erik ten Hag

-

El Ghazi (28) ni Mchezaji Huru baada ya kuondoka PSV Eindhoven ya Uholanzi, wiki iliyopita kwa makubaliano maalum na klabu hiyo, inadaiwa anawaniwa na Klabu za Saudi Arabia

-

Aidha, El Ghazi ambaye pia ni Mchezaji wa Zamani wa #Ajax, #AstonVilla na #Everton, alikuwepo jukwaani wakati United ikipoteza dhidi ya #Arsenal, wiki mbili zilizopita

-


Post a Comment

0 Comments