Hot Posts

6/recent/ticker-posts

SIMBA HATARI DK 15-20



Rudia magoli mawili yaliyopatikana kwenye mchezo wa kwanza baina yao na Mtibwa ambapo walipata bao mbili za haraka haraka kupitia kwa Willy Onana na Baleke, juzi pia walpata bao mbili za haraka kupitia kwa Baleke. 
.
Wanachofanya Simba ni kuhama haraka kutoka kwenye mfumo mama wa 4-2-3-1 na kuingia kwenye 3-5-1-1 ambapo Chama huwa karibu zaidi na mchezaji wa juu kumrahisishia ufungaji.

 

Post a Comment

0 Comments